Ipo barabarani sehemu nzuri sana na Nyumba ambayo kubwa ya kifahali ina geti na sehemu ya kupaki magari,Jiko la kisasa,sehemu ya mtoto kucheza,vyumba vingi na AC(air condition).Bei ni shilingi milioni 300 kwa maelezo na makubaliano zaidi ya bei piga 0717389255.
Thursday 4 August 2016
Nyumba Inauzwa wahi mapema
kuna nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 2, sehemu ya kupikia ndan, choo cha ndan bei ni milion 62. Ipo maeneo ya kimara temboni.kwa mawasilia na punguzo la bei wasiliana na 0717389255.
Kiwanja kiwanja kinauzwa
Kiwanja kinauzwa, Kilomita za Square 590, Kigamboni Kidaba, barabarani. Bei Shilingi 47 milioni, mazungumzo yanaruhusiwa. Kina hati ya Serikali ya miaka 90. Mawasiliano. 0717389255 kuona au maelewano zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)